Bondia James DeGale akiwa amemkandamiza konde mpinzani wake, Andre Dirrell katika pambano la ubingwa wa dunia wa IBF uzito wa Super-Middle usiku wa jana mjini Boston, Uingereza. Muingereza DeGale mwenye umri wa miaka 29, ameshinda kwa pointi za majaji wote watatu, Mcanada Alan Davis akitoa 117-109, Muingereza Howard Foster na Mcanada mwingine, Dan Fitzgerald wakitoa 114-112 katika pambano hilo ambalo DeGale alimuangusha chini mara mbili Mmarekani Dirrell. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jude Bellingham reveals the one word Real Madrid stars can't stop saying
ahead of Champions League clash with Arsenal as defiant Carlo Ancelotti
urges team to show 'BALLS' in order to complete miracle comeback
-
The Spanish giants are facing a mountain to climb in the Champions League
quarter-final second leg after losing 3-0 in north London last Tuesday set
up by ...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment