Mshambuliaji Romelu Lukaku wa Everton akimuacha chini Danilo Silva wa Dynamo Kiev katika mchezo wa Europa League jana usiku Uwanja wa Goodison Park. Everton ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Steven Naismith na Lukaku, wakati bao la Dynamo lilifungwa na Oleg Gusev. Timu hizo zitarudiana mjini Kiev Alhamsi ijayo, Everton ikihitaji sare ili kwenda Robo Fainali.
Gary Neville names FIVE Man United players who are 'not good enough' to
play for Ruben Amorim - and calls for signings to replace them this summer
-
The United legend believes Ruben Amorim is being hamstrung by the stars -
seemingly including one who only arrived in the winter.
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment