KAPTENI KARAMA NYILAWILA 'ALIVYOMUONEA' DOGO TAMBA JANA
Bondia Karama Nyilawila kulia akimuadhibu mpinzani wake, Ibrahim Tamba katika pambano la uzito wa Super Middle usiku wa jana ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam. Karama alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya nane
Bondia Karama Nyilawila kulia akimuadhibu mpinzani wake, Ibrahim Tamba katika pambano la uzito wa Super Middle usiku wa jana ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam. Karama alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya nane
Karama kushoto akimpiga 'vitasa' Tamba
Karama baada ya kumlaza chini Tamba raundi ya nane
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment