// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); PONDAMALI 'AMCHAPA' YONDAN HADI ATOKA MKUKU KARUME LEO ASUBUHI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE PONDAMALI 'AMCHAPA' YONDAN HADI ATOKA MKUKU KARUME LEO ASUBUHI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
    Friday, March 13, 2015

    PONDAMALI 'AMCHAPA' YONDAN HADI ATOKA MKUKU KARUME LEO ASUBUHI

    Kocha wa makipa wa Yanga SC, Juma Pondamali (kushoto) akifanya mazoezi ya kupigana na beki wa timu hiyo, Kevin Yondan asubuhi ya leo wakati wa mazoezi ya timu hiyo Uwanja wa Karume, Ilala, Dar es Salaam.
    Pondamali na Yondani wakifanya yao, huku wachezaji wengine wakiendelea na kazi inayowafanya walipwe mishahara Yanga SC
    Pondamali alimzidi Kevin Yondan katika 'sparring' hiyo
    Yondan alipoona 'mawe yanazidi' kuporomoshwa akaamua kukimbia kwenda kucheza mchezo unaomfanya aendeshe maisha yake kwa miaka sasa, soka

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PONDAMALI 'AMCHAPA' YONDAN HADI ATOKA MKUKU KARUME LEO ASUBUHI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry