• HABARI MPYA

        Monday, March 23, 2015

        AZAM FC NA COASTAL UNION KATIKA PICHA JANA MKWAKWANI

        Kiungo wa Azam FC, Frank Domayo akimtoka kungo wa Coastal Union, Joseph Mahundi kulia katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Azam FC ilishinda 1-0.
        Mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco akimtoka beki wa Coastal Union
        John Bocco akitafuta maarifa ya kumtoka Hamad Juma wa Coastal
        Tumba Swedi wa Coastal kushoto akiwania mpira dhidi ya Didier Kavumbangu wa Azam FC
        Mshambuliaji wa Coastal, Itubu Imbem akimiliki mpira mbele ya viungo wa Azam FC, Domayo na Himid Mao

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: AZAM FC NA COASTAL UNION KATIKA PICHA JANA MKWAKWANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry