• HABARI MPYA

        Saturday, March 28, 2015

        ASHRAF ALIVYOMLAZA 'KIFUDIFUDI' MKENYA JANA DIAMOND

        Bondia Mtanzania, Ashraf Suleiman kulia akimuadhibu Mkenya Bernard Ardie katika pambano la uzito wa juu usiku wa jana ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam. Ashraf alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya pili
        Ashraf akiuacha ulingo baada ya kumkalisha mpinzani wake

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: ASHRAF ALIVYOMLAZA 'KIFUDIFUDI' MKENYA JANA DIAMOND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry