// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); YANGA SC WALIVYOWAFANYA EL MERREIKH 'WAJISIKIE WAPO NYUMBANI' CHAMAZI JANA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE YANGA SC WALIVYOWAFANYA EL MERREIKH 'WAJISIKIE WAPO NYUMBANI' CHAMAZI JANA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Monday, February 16, 2015

    YANGA SC WALIVYOWAFANYA EL MERREIKH 'WAJISIKIE WAPO NYUMBANI' CHAMAZI JANA

    Shabiki wa Yanga SC akiwa ameshika bendera za Sudan na El Merreikh kuishangiia timu hiyo ilipokuwa ikimenyana na Azam FC katika mchezo wa kwanza Raundi ya Awali Ligi ya Mabingwa Afrika Uwanja wa Azam Complex jana. Hata hivyo, Azam FC ilishinda 2-0
    Mashabiki wa Yanga wakiishangilia El Merreikh jana 
    Mashabiki waliokosa bendera, waliamua kujifunga vitambaa vyekundu kichwani kuonyesha namna wanavyoisapoti Merreikh
    Ama kwa hakika El Merreikh walijisikia wapo nyumbani jana Azam Complex, Chamazi kwa sapoti kubwa ya mashabiki wa Yanga SC 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC WALIVYOWAFANYA EL MERREIKH 'WAJISIKIE WAPO NYUMBANI' CHAMAZI JANA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top