// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); WILLIAN AITAKATISHA CHELSEA LIGI KUU ENGLAND - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE WILLIAN AITAKATISHA CHELSEA LIGI KUU ENGLAND - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Thursday, February 12, 2015

    WILLIAN AITAKATISHA CHELSEA LIGI KUU ENGLAND

    BAO la dakika za lala salama la Willian, limeipa Chelsea ushindi wa 1-0 dhidi ya Everton usiku huu katika mcheo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge, London.
    Toffees walifungwa bao hilo baada ya kumpoteza mchezaji wake, Gareth Barry aliyetolewa kwa kadi nyekundu na sasa The Blues wanaendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi saba zaidi.
    Steven Naismith alikuwa mwenye bahati baada ya kuepuka adhabu licha ya kuunawa mpira kwenye boksi la Everton kipindi cha kwanza. 
    Kiungo mpya, Juan Cuadrado alianza kwa amra ya kwanza leo tangu asajiliwe kwa Pauni Milioni 27 Chelsea kutoka Fiorentina na akavutia.
    Willian is jubilant as he celebrates his late winner with substitute Didier Drogba, sending Stamford Bridge into pandemonium in the process
    Willian akishangilia na Didier Drogba baada ya kufunga

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2949817/Chelsea-1-0-Everton-Willian-leaves-late-break-10-man-Toffees-Gareth-Barry-sees-red.html#ixzz3RTcs8XE3 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WILLIAN AITAKATISHA CHELSEA LIGI KUU ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top