// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); TOTO AFRICAN NA MWADUI ZAPANDA RASMI LIGI KUU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE TOTO AFRICAN NA MWADUI ZAPANDA RASMI LIGI KUU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Sunday, February 15, 2015

    TOTO AFRICAN NA MWADUI ZAPANDA RASMI LIGI KUU

    TOTO African ya Mwanza imerejea Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kufuatia ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Rhino Rangers ya Tabora Uwanja wa CCM Kirumba leo.
    Ushindi huo unaifanya Toto ya Mtaa wa Kishamapanda katikati ya Jiji la Mwanza itimize pointi 42 baada ya mechi 21, hivyo kuungana na Mwadui kupana Ligi Kuu kutoka Kundi B.
    Kundi A, tayari African Sports ya Tanga na Majimaji ya Songea zimepanda Ligi Kuu.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TOTO AFRICAN NA MWADUI ZAPANDA RASMI LIGI KUU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top