// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MADEMU WA MAREKANI WAWAPIGA ENGLAND 1-0 KIRAFIKI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MADEMU WA MAREKANI WAWAPIGA ENGLAND 1-0 KIRAFIKI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Saturday, February 14, 2015

    MADEMU WA MAREKANI WAWAPIGA ENGLAND 1-0 KIRAFIKI

    England's Jill Scott (right) puts in a tackle on Christen Press
    Beki wa England, Jill Scott (kulia) akiupitia mpira miguuni mwa mshambuliaji wa Marekani, Christen Press katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa wa soka ya wanawake baina ya timu hizo uliofanyika Milton Keynes. Marekani ilishinda 1-0, bao pekee la Alex Morgan, wakati Jodie Taylor aliifungia England bao lililokataliwa kwa sababu alikuwa ameotea. Fran Kirby wa England mwenye umri wa miaka 21 alitajwa mchezaji bora wa mechi.

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2953087/England-0-1-USA-Alex-Morgan-header-clinches-narrow-win-visitors-Milton-Keynes-friendly.html#ixzz3Rha7zWM2 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MADEMU WA MAREKANI WAWAPIGA ENGLAND 1-0 KIRAFIKI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top