// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); KANE MCHEZAJI BORA WA MWEZI ENGLAND - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE KANE MCHEZAJI BORA WA MWEZI ENGLAND - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, February 13, 2015

    KANE MCHEZAJI BORA WA MWEZI ENGLAND

    MSHAMBULIAJI wa Tottenham Hotspur, Harry Kane ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi wa Ligi Kuu ya England.
    Kane anashinda tuzo ya Januari baada ya kazi nzuri aliyoifanya mwanzoni mwa mwaka 2015, akifunga mabao matano katika michuano yoye, yakiwemo mawili katika ushindi wa 5-3 dhidi ya Chelsea.
    Kinda huyo wa umri wa miaka 21 ananukia katika kikosi cha timu ya taifa ya England baada ya kumvutia kocha Roy Hodgson miezi ya karibuni, ambaye amesema atamuita katika kikosi kijacho.
    Harry Kane has been awarded the Barclays Premier League Player of the Month award
    Harry Kane amekuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Januari wa Ligi Kuu ya England
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KANE MCHEZAJI BORA WA MWEZI ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top