// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); HUU MZIGO ULIPELEKWA MOROGORO ILI SIMBA IPIGWE NA POLISI JANA, LAKINI... - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE HUU MZIGO ULIPELEKWA MOROGORO ILI SIMBA IPIGWE NA POLISI JANA, LAKINI... - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Monday, February 16, 2015

    HUU MZIGO ULIPELEKWA MOROGORO ILI SIMBA IPIGWE NA POLISI JANA, LAKINI...

    Wapenzi wa Simba SC wakikagua vitu ambavyo vinadaiwa ni vya uchawi ambavyo alikamatwa navyo mpenzi mwenzao mmoja wa klabu hiyo kutoka kundi la Ukawa mjini Morogoro jana wakati timu hiyo ilipokwenda kumenyana na wenyeji Polisi katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara na kushinda mabao 2-0.
    Ndumba; vitu vya kichawi ambavyo inadaiwa kundi la Ukawa linaouponga uongozi uliopo madarakani chini ya Rais, Evans Aveva walivipeleka Morogoro ili timu ifanye vibaya
    Mtu aliyekutwa na vitu hivi alipigwa na wenzake hao mjini Morogoro

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HUU MZIGO ULIPELEKWA MOROGORO ILI SIMBA IPIGWE NA POLISI JANA, LAKINI... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top