// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); GWIJI XABI ALONSO ATAJA 11 BORA WA KIKOSI CHA KOMBAINI LIGI YA MABINGWA ULAYA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE GWIJI XABI ALONSO ATAJA 11 BORA WA KIKOSI CHA KOMBAINI LIGI YA MABINGWA ULAYA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, February 13, 2015

    GWIJI XABI ALONSO ATAJA 11 BORA WA KIKOSI CHA KOMBAINI LIGI YA MABINGWA ULAYA

    AKIWA amecheza kwa zaidi ya muongo mmoja Ulaya, hapana shaka ni sahihi kusema Xabi Alonso anamjua mchezaji mzuri. 
    Akiwa ameshinda taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya mara mbili, kiungo huyo wa zamani wa Liverpool ametaja kikosi cha wachezaji 11 bora wa muda wote katika zama zake wa Ligi ya Mbingwa Ulaya kwa mtazamo wake.
    Kwa sasa akiwa anachezea Bayern Munich, Mspanyola huyo amemteua kipa wa timu yake, Manuel Neuer kuwa mlinda wa kikosi, ambacho ndani yake kuna washambuliaji Lionel Messi wa Barcelona na Cristiano Ronaldo wa Real Madrid.
    Kikosi kamili cha Alonso ni; Manuel Neuer, Philip Lahm, Sergio Ramos, Carles Puyol, David Alaba, Zinadine Zidane, Paul Scholes, Xavi, Steven Gerrard, Cristiano Ronaldo na Lionel Messi.    
    Alonso laughs with Sportsmail's Jamie Carragher earlier this season over in Germany
    Alonso akifurahia na Mwandishi wa Sportsmail, Jamie Carragher mapema msimu huu Ujerumani
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GWIJI XABI ALONSO ATAJA 11 BORA WA KIKOSI CHA KOMBAINI LIGI YA MABINGWA ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top