// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); ASTON VILLA WACHUKUA KOCHA WA SPURS AWANUSURU KUSHUKA DARAJA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE ASTON VILLA WACHUKUA KOCHA WA SPURS AWANUSURU KUSHUKA DARAJA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Saturday, February 14, 2015

    ASTON VILLA WACHUKUA KOCHA WA SPURS AWANUSURU KUSHUKA DARAJA

    KLABU ya Aston Villa imemteua Tim Sherwood kuwa kocha wake mpya katika Mkataba wa hadi mwishoni mwa msimu wa 2018.
    Kocha huyo Mkuu wa zamani wa Tottenham Hotspur atakuwa jukwaani wakati Villa inamenyana na Leicester Jumapili kabla ya kutambulishwa katika Mkutano na Waandishi wa Habari Jumatatu.
    Sherwood anakabiliwa na jukumu la kurejesha makali ya timu hiyo ambayo imecheza mechi 10 za Ligi Kuu ya England bila kushinda, huku wakiwa kwenye hofu ya kushuka daraja. 
    Aston Villa have confirmed that former Tottenham Hotspur boss Tim Sherwood is their new manager
    Aston Villa imemthibitisha kocha wa zamani wa Tottenham Hotspur, Tim Sherwood kuwa kocha wao mpya
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ASTON VILLA WACHUKUA KOCHA WA SPURS AWANUSURU KUSHUKA DARAJA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top