// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); ALIYEZIDUNDA ARSENAL MAN UNITED AWA KOCHA BORA ENGLAND - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE ALIYEZIDUNDA ARSENAL MAN UNITED AWA KOCHA BORA ENGLAND - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, February 13, 2015

    ALIYEZIDUNDA ARSENAL MAN UNITED AWA KOCHA BORA ENGLAND

    MTAALAMU wa soka maridhawa, Ronald Koeman ameshinda tuzo ya Kocha Bora wa mwezi Januari Ligi Kuu ya England baada ya kuiongoza Southampton kuvifunga vigogo, Arsenal na Manchester United.
    Watakatifu wameshinda mechi zao zote tatu za Ligi Kuu ya England  mwezi uliopita, ikiwemo dhidi ya Newcastle, na kubaki katika kinyang'anyiro cha Nne Bora.
    Kwa sasa, Southampton inashika nafasi ya nne katika Ligi Kuu England, ikizidiwa pointi moja na Man United na ikiizidi pointi moja pia Arsenal. 
    Ronald Koeman has been named January's Manager of the Month after Southampton recorded three wins
    Ronald Koeman ameshinda tuzo ya Kocha Bora wa Mwezi Januari Ligi Kuu ya England baada ya kuiwezesha Southampton kushinda mechi tatu
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ALIYEZIDUNDA ARSENAL MAN UNITED AWA KOCHA BORA ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top