Mfungaji wa bao la Zambia, Emmanuel Mayuka (kushoto) akipambana na Rami Bedoui wa Tunisia katika mchezo wa Kundi B, Fainali za Mataifa Uwanja wa Ebebiyin nchini Equatorial Guinea leo. Tunisa ilitoka nyuma na kushinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Ahmed Akaichi dakika ya 70 na Yassine Chikhaoui dakika ya 89, wakati Mayuka aliifungia Zambia bao la kuongoza dakika ya 59.
Abia police kill 6 kidnappers, free 4 victims
-
From Okey Sampson, Umuahia Police in Abia said they have killed six
kidnappers who have been terrorising the Obingwa axis of Aba and rescued
four kidnapp...
56 minutes ago
0 comments:
Post a Comment