Mfungaji wa bao la Zambia, Emmanuel Mayuka (kushoto) akipambana na Rami Bedoui wa Tunisia katika mchezo wa Kundi B, Fainali za Mataifa Uwanja wa Ebebiyin nchini Equatorial Guinea leo. Tunisa ilitoka nyuma na kushinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Ahmed Akaichi dakika ya 70 na Yassine Chikhaoui dakika ya 89, wakati Mayuka aliifungia Zambia bao la kuongoza dakika ya 59.
Lando Norris wins the Australian Grand Prix as rain bomb wreaks havoc on
the opening F1 race of the season with SIX drivers crashing out
-
McLaren's Lando Norris won the Australian Grand Prix while Max Verstappen
secured second place and Mercedes' star George Russell came third.
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment