Nyota wa Ujerumani, Mario Gotze akipasua na Cesar Azpiliciueta wa Sergio Busquets wa Hispania katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku huu mjini Vigo. Ujerumani ilishinda 1-0, bao pekee la Toni Kroos dakika ya mwisho.
Gotze akienda chini baada ya kukwatuliwa na beki wa Hispania, Sergio Ramos
PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2839856/Spain-0-1-Germany-Toni-Kroos-scores-minute-winner-World-champions-Thomas-Muller-forced-knock.html#ixzz3JSgythBU
0 comments:
Post a Comment