• HABARI MPYA

        Friday, November 28, 2014

        SPURS YASONGA MBELE EUROPA LEAGUE

        Benjamin Stambouli wheels away in celebration of Tottenham's opening goal at White Hart Lane
        Benjamin Stambouli akikimbia kushangilia baada ya kufunga bao pekee la ushindi kwa Tottenham dakika ya 48, Uwanja wa White Hart Lane, London usiku wa jana. Kwa ushindi huo wa 1-0, Spurs imejihakikishia kwenda 32 Bora ya Europa League.  

        PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2852347/Tottenham-1-0-Partizan-Belgrade-Benjamin-Stambouli-nets-winner-ensure-32-spot-Spurs-victory-marred-three-pitch-invasions-inside-41-minutes.html#ixzz3KKiuoRSx 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: SPURS YASONGA MBELE EUROPA LEAGUE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry