Mshambuliaji wa zamani wa kimataifa wa Brazil, Ronaldo Lima akiwa nyota wa PSG, Zlatan Ibrahimovic baada ya mechi dhidi ya Nice usiku wa jana mjini Paris, Ufaransa, Ibra alifunga bao pekee kwa penalti PSG ikishinda 1-0 na baada ya hapo akakutana na Mwanasoka huyo bora wa zamani wa dunia. Akiwa Inter Milan, Zlatan alicheza dhidi ya Ronaldo aliyekuwa AC Milan mwaka 2007 katika Serie A.
'Liverpool still need new blood' - where will Slot strengthen?
-
Liverpool must still rebuild with major signings despite winning the
Premier League, says BBC Sport chief football writer Phil McNulty.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment