MWANASOKA bora wa dunia, Cristiano Ronaldo usiku huu amemtambia mpinzani wake mkubwa, Lionel Messi walipokiytana kwa mara ya 27 Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester, England.
Ronaldo ameiongoza Ureno kuilaza Argentina ya Messi ya 1-0, bao pekee la 90 katika mchezo huo wa kirafiki wa kimataifa.
Wanasoka wote hao, Ronaldo wa Real Madrid na Messi wa Barcelona ya Hispania wanatarajia kushindana tena kwenye tuzo ya Mwanasoka Bora wa Dunia mwaka huu.
Ronaldo ameiongoza Ureno kuilaza Argentina ya Messi ya 1-0, bao pekee la 90 katika mchezo huo wa kirafiki wa kimataifa.
Wanasoka wote hao, Ronaldo wa Real Madrid na Messi wa Barcelona ya Hispania wanatarajia kushindana tena kwenye tuzo ya Mwanasoka Bora wa Dunia mwaka huu.
Messi akiambaa na mpira mbela ya Ronaldo (kulia) usiku huu Old Trafford
Ronaldo akiambaa na mpira wakati Ureno ikimenyana na Argentina Uwanja wa Old Trafford
0 comments:
Post a Comment