MWANASOKA bora wa dunia, Cristiano Ronaldo usiku huu amefikisha mabao 20 katika La Liga, wakati Real Madrid ikiichapa 4-0 Eibar. Wakati Ronaldo akifunga mabao mawili kwenye ushindi huo, na kufikisha 20 katika mechi 12, anaifanya Real Madrid ishinde mechi ya 14 mfululizo chini ya Carlo Ancelotti na kubakiza bao moja tu afikie rekodi ya Jose Mourinho kushinda mechi 15 mfululizo. Mabao mengine ya Real yamefungwa na James Rodriguez na Karim Benzema.
Ex-Chelsea star reveals he has been dealing with hair loss for 'many years'
as he shows off transformation after looking unrecognisable in new photo
that went viral
-
During his time in England, he was known for his long, curly locks, with
some fans even wearing wigs in the crowd to show support for his unique
haircut.
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment