• HABARI MPYA

        Sunday, November 30, 2014

        REAL MADRID YAWEKA REKODI MPYA BAADA YA KUICHAPA MALAGA 2-1

        WINGA Gareth Bale, beki Sergio Ramos na kocha wao,  Carlo Ancelotti have been celebrating after winning 16 straight games wamesherehekea kushinda mechi 16 mfululizo kwa mara ya kwanza katika historia ya Real Madrid.
        Watatu hao wameposti picha kwenye Twitter jana usiku bada ya kuifunga Malaga 2-1, mabao ya Karim Benzema na Bale na kuweka rekodi, wakishikilia vidole 16 baina yao na Ramos akasema: 'A seguir trabajando. Buenas noches..!! maana yake Acha tuendelee kupiga kazi. Usiku mwema..!!.'
        Ushindi huo wa La Liga unaifanya klabu hiyo ipiku rekodi ya mechi 15 iliyowekwa na Miguel Munoz msimu wa 1960-61 na kufikiwa pia na Jose Mourinho msimu wa 2011-12. 
        Gareth Bale, Carlo Ancelotti and Sergio Ramos hold up sixteen fingers to celebrate Real's winning run
        Gareth Bale, Carlo Ancelotti na Sergio Ramos wakiwa wameshikilia vidole 16 kushangilia wimbi la ushindi la Real
        Bale (left) celebrates Karim Benzema's first goal in their 2-1 victory over Malaga on Saturday night
        Bale (kushoto) akishangilia na Karim Benzema usiku wa jana baada ya kuichapa 2-1 Malaga

        WIMBI LA USHINDI REAL MADRID MECHI 16

        1. Real Madrid 5-1 Basel (Ligi ya Mabingwa)  - Septemba 16
        2. Deportivo la Coruna 2-8 Real (La Liga) - Septemba 20
        3. Real 5-1 Elche (La Liga) - Septemba 23
        4. Villarreal 0-2 Real (La Liga) - Septemba 27
        5. Ludogorets 1-2 Real (Ligi ya Mabingwa) - Oktoba 1
        6. Real 5-0 Athletic Bilbao (La Liga) - Oktoba 5
        7. Levante 0-5 Real (La Liga) - Oktoba 18
        8. Liverpool 0-3 Real (Ligi ya Mabingwa) - Oktoba 22
        9. Real 3-1 Barcelona (La Liga) - Oktoba 25
        10.UD Cornella 1-4 Real (Kombe la Mfalme) - Oktoba 29
        11.Granada 0-4 Real (La Liga) - Novemba 1
        12. Real 1-0 Liverpool (Ligi ya Mabingwa) - Novemba 4
        13. Real 5-1 Rayo Vallecano (La Liga) - Novemba 8
        14. Eibar 0-4 Real (La Liga) - Novemba 22
        15. Basel 0-1 Real (Ligi ya Mabingwa) - Novemba 26
        16. Malaga 1-2 Real (La Liga) - Novemba 29 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: REAL MADRID YAWEKA REKODI MPYA BAADA YA KUICHAPA MALAGA 2-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry