• HABARI MPYA

        Saturday, November 29, 2014

        CHELSEA YAPUNGUZWA KASI LIGI KUU ENGLAND

        Chelsea forward Diego Costa gets in a tangle with Sunderland defender John O'Shea during the 0-0 draw at the Stadium of Light
        Mshambuliaji wa Chelsea, Diego Costa akipambana na beki wa Sunderland, John O'Shea katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo uliomalizika kwa sare 0-0 Uwanja wa Light.
        Sunderland striker Connor Wickham (centre) is tackled by Chelsea right-back Branislav Ivanovic while Gary Cahill of Chelsea watches on
        Mshambuliaji wa Sunderland, Connor Wickham (katikati) akikwatuliwa na beki wa kulia wa Chelsea, Branislav Ivanovic huku Gary Cahill wa Chelsea pia akifuatilia

        PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2854330/Sunderland-0-0-Chelsea-Diego-Costa-lucky-escape-red-Blues-held-Black-Cats-Stadium-Light.html#ixzz3KUK9UvjV 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: CHELSEA YAPUNGUZWA KASI LIGI KUU ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry