• HABARI MPYA

        Sunday, November 23, 2014

        BALOTELLI AENDA KUJIRUSHA KWENYE NDONDI 'USIKU MNENE' JANA WAKATI LEO MCHANA LIVERPOOL INACHEZA LIGI

        Balotelli sat and watched the boxing from a ringside seat at the Echo Arena
        Mshambuliaji wa Liverpool, Mario Balotelli kulia akitazama ndondi kutoka pembezoni mwa ulingno ukumbi wa  Echo Arena mjini Liverpool, usiku wa jana kuamkia mechi ya timu yake na Crystal Palace mchana wa leo 
        Balotelli returned home early from international duty, and may not be fit to face Crystal Palace 
        Balotelli aliwashangaza wengi kwa kuwa kwake ndondi 'usiku mnene' badala ya kupumzika kujiandaa na mechi na Crystal Palace

        PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2845728/Mario-Balotelli-spotted-Cleverly-vs-Bellew-Liverpool-Reds-face-Crystal-Palace-London-tomorrow-lunchtime-doing-there.html#ixzz3Jrp3ORph 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: BALOTELLI AENDA KUJIRUSHA KWENYE NDONDI 'USIKU MNENE' JANA WAKATI LEO MCHANA LIVERPOOL INACHEZA LIGI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry