// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); SWANSEA YAIFUMUA EVERTON 3-0 KOMBE LA LIGI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SWANSEA YAIFUMUA EVERTON 3-0 KOMBE LA LIGI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Wednesday, September 24, 2014

        SWANSEA YAIFUMUA EVERTON 3-0 KOMBE LA LIGI

        Mholanzi Marvin Emnes akipongezwa na Jonjo Shelvey baada ya kuifungia Swansea bao la tatu katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Everton katika Kombe la Ligi England, maarufu kama Capital One Cup jana usiku. Mabao mengine ya swansea yalifungwa na Nathan Dyer na Gylfi Sigurdsson.
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: SWANSEA YAIFUMUA EVERTON 3-0 KOMBE LA LIGI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry