// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MAN CITY YAPEWA BAYERN MUNICH LIGI YA MABINGWA, LIVERPOOL NA REAL, CHELSEA NA WAKALI WENGINE WA UJERUMANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MAN CITY YAPEWA BAYERN MUNICH LIGI YA MABINGWA, LIVERPOOL NA REAL, CHELSEA NA WAKALI WENGINE WA UJERUMANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Thursday, August 28, 2014

        MAN CITY YAPEWA BAYERN MUNICH LIGI YA MABINGWA, LIVERPOOL NA REAL, CHELSEA NA WAKALI WENGINE WA UJERUMANI

        MABINGWA wa England, Manchester City wamepangwa kundi moja na mabingwa wa Ujerumani, Bayern Munich katika Ligi ya Mabingwa Ulaya pamoja na CSKA Moscow na Roma, wakati Liverpool wao wamepangwa na mabingwa watetezi, Real Madrid.
        Mabingwa mara tano Ulaya, Liverpool mbali na kupangwa na mabingwa mara 10 wa taji hilo, Real pia wapo na Basle na Ludogorets.
        Arsenal, imepangwa na Borussia Dortmund pamoja na Galatasaray na Anderlecht katika Kundi D, wakati Chelsea imepangwa na imepangwa na wakali wengine wa Ujerumani, Schalke, Sporting Lisbon na Maribor.

        KUNDI A 

        Atletico Madrid 
        Juventus 
        Olympiakos 
        Malmo 

        KUNDI B 

        Real Madrid 
        Basle 
        LIVERPOOL
        Ludogorets 

        KUNDI C 

        Benfica 
        Zenit St Petersburg 
        Bayer Leverkusen 
        Monaco 

        KUNDI D 

        ARSENAL
        Borussia Dortmund 
        Galatasaray 
        Anderlecht 

        KUNDI E 

        Bayern Munich
        MANCHESTER CITY
        CSKA Moscow 
        Roma 

        KUNDI F 

        Barcelona 
        Paris St-Germain 
        Ajax 
        Apoel Nicosia 

        KUNDI G 

        CHELSEA
        Schalke 
        Sporting Lisbon 
        Maribor 

        KUNDI H 

        Porto 
        Shakhtar Donetsk 
        Athletic Bilbao 
        Bate Borisov 
        Mkali wao: Cristiano Ronaldo akiwasili kwenye drop ya Ligi ya Mabingwa Ulaya leo mjini Monaco, Ufaransa
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: MAN CITY YAPEWA BAYERN MUNICH LIGI YA MABINGWA, LIVERPOOL NA REAL, CHELSEA NA WAKALI WENGINE WA UJERUMANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry