// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); STARS WALIVYOONDOKA LEO DAR KWENDA AFRIKA KUSINI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE STARS WALIVYOONDOKA LEO DAR KWENDA AFRIKA KUSINI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Wednesday, July 30, 2014

        STARS WALIVYOONDOKA LEO DAR KWENDA AFRIKA KUSINI

        Kiungo wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mwinyi Kazimoto anayecheza Al Markhiya ya Qatar, akiwaongoza wenzake jioni ya leo kuingia ndani ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) tayari kwa safari ya Afrika Kusini ambako timu hiyo itaweka kambi ya siku mbili kabla ya kwenda Msumbiji, kumenyana na wenyeji, Mambas katika mchezo wa marudiano hatua ya mwisho ya mchujo kuwania kupangwa kwenye makundi ya kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) mwakani nchini Morocco. Mchezo huo utafanyika mwishoni mwa wiki baada ya timu hizo kutoka sare ya 2-2 katika mchezo wa kwanza Dar es Salaam wiki iliyopita
        Amri Kiemba akiingia ndani JNIA
        Kutoka kulia Oscar Joshua, Nadir Haroub 'Cannavaro' na Simon Msuva
        Beki Aggrey Morris akiingia ndani ya JNIA
        Kocha Salum Mayanga kushoto akiwaongoza vijana wake
        Haroun Chanongo na Ramadhano Singano 'Messi' kulia
        Kocha Mart Nooij kulia akiwa na mfungaji wa mabao yote mawili ya Stars katika sare ya 2-2 na Msumbiji Dar es Salaam, Khamis Mcha 'Vialli'
        Kutoka kulia Shaaban Nditi, Deo Munishi 'Dida' na Mrisho Ngassa
        Kutoka kulia Himid Mao, John Bocco na Erato Nyoni
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: STARS WALIVYOONDOKA LEO DAR KWENDA AFRIKA KUSINI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry