// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); RONALDO NA MAYWEATHER WALIPOKUTANA...DUNIA YOTE YAO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE RONALDO NA MAYWEATHER WALIPOKUTANA...DUNIA YOTE YAO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Saturday, July 26, 2014

        RONALDO NA MAYWEATHER WALIPOKUTANA...DUNIA YOTE YAO


        Magwiji walipokutana: Cristiano Ronaldo ameposti picha hii kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa na bondia Floyd Mayweather baada ya kukutana naye leo na kuandika; "Safi kujiachia na bingwa". Mreno Ronaldo anayechezea Real Madrid ni Mwanasoka Bora wa Dunia, wakati Mmarekani Mayweather ni bingwa wa dunia ambaye hajawahi kupigwa katika ndondi za kulipwa. 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: RONALDO NA MAYWEATHER WALIPOKUTANA...DUNIA YOTE YAO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry