Mkali: Mshambuliaji wa Liverpool, Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao pekee la ushindi katika mchezo wa kujiandaa na msimu usiku wa kuamkia leo dhidi ya Olympiacos ya Ugiriki, Kombe la Kimataifa. Liverpool itacheza pia na AC Milan na Manchester City katika Kundi B la michuano hiyo.
Five talking points from final round of Six Nations
-
Here's our round-up of the big talking points from the final round of
fixtures in the 2025 tournament.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment