Nibusu haraka: Mshambuliaji wa Uswisi, Xherdan Shaqiri (kulia) akibusu camera baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Honduras mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia. Uswisi imeungana na Ufaransa kufuzu hatua ya 16 Bora kutoka kundi hilo ikimaliza na pointi sita, wakizidiwa moja tu na vinara wa kundi hilo, ambao nao wametoka sare ya 0-0 na Ecuador usiku wa kuamkia leo. Uswisi sasa itamenyana na Argentina.
TNT Sports receive 102 complaints over 'BIASED' commentary by Rio Ferdinand
and Robbie Savage in Man United's comeback win over Lyon
-
EXCLUSIVE BY KIERAN GILL: TNT Sports stand accused of broadcasting biased
commentary after the excitable reaction by Rio Ferdinand and Robbie Savage
to Man...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment