Ruka juu: Mshambuliaji wa Ujerumani, Thomas Muller akiruka juu kupiga ngumi hewani baada ya kuifungia bao pekee timu yake ikishinda 1-0 dhidi ya Marekani katika mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia nchini Brazil. Hata hivyo, timu zote Ujerumani na Marekani zimefuzu hatua ya 16 Bora ya michuano hiyo. Ujerumani imemaliza na pointi saba, Marekani pointi nne sawa na Ureno, lakini imefuzu kwa wastani wake mzuri wa mabao ya kufunga na kufungwa, huku Ghana ikishinda mkia kwenye kundi hilo kwa pointi yake moja.
Revealed: The 'rematch date' for Chris Eubank Jr vs Conor Benn - as Saudi
boxing chief lifts the lid on plans after thrilling grudge match
-
The rivalry between Eubank Jr and Benn is set to continue after Saudi
Arabia chief Turki Al-Sheikh revealed plans are already underway for a
rematch.
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment