• HABARI MPYA

        Thursday, June 26, 2014

        RAIS MTARAJIWA SIMBA SC, EVANS AVEVA ALIVYOPOKEWA KIGAMBONI JANA

        Mgombea Urais wa Simba SC, Evans Eliaza Aveva kulia akisalimiana na wanachama wa tawi la Kigamboni, Dar es Salaam jana alipowatembelea kwa ajili ya kampeni
        Aveva na wanachama Kigamboni jana

        Kulia ni Mwenyekiti wa zamani wa Simba SC, Hassan Daalal akiongozana na Aveva

        Wanachama wakimsikilizaa Aveva

        Sera za mgombea zinapofurahisha wanachama, huchekelea

        Mzee Daalal akimuombea kura Aveva

        Aveva akizungumza na wanachama

        Aveva akiagana na wanachama baada ya kumaliza kuzungumza nao

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: RAIS MTARAJIWA SIMBA SC, EVANS AVEVA ALIVYOPOKEWA KIGAMBONI JANA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry