KABURU 'AWAGARAGAZA' JULIO NA NKWABI, NDIYE MAKAMU WA RAIS SIMBA SC
Geoffrey Nyange 'Kaburu' ameshinda Umakamu wa Rais Simba SC baada ya kupata kura 1043 akimshinda mpinzani wake wa karibu Jamhuri Mussa Kihwelo 'Julio' aliyepata kura 413 na Swedi Nkwabi kura 300. Hata hivyo, hizo ni taarifa za awali, matokeo kamili yatatangazwa na Kamati ya Uchaguzi baadaye.
Man Utd plans Hojlund, Lookman swap deal Lookman
-
Rasmus Hojlund could be set for a stunning return to Atalanta as Manchester
United considers offering the forward in a swap deal for Ademola Lookman.
Hoj...
U21 report: Arsenal 2-1 Newcastle United
-
A stoppage-time penalty from Khayon Edwards saw us beat Newcastle United in
the first round of the Premier League 2 play-offs
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment