EVANS AVEVA ALIVYOZINDUA KAMPENI ZAKE TEMEKE LEO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU SIMBA SC, HANS POPPE NA KABURU NDANI YA NYUMBA
Mgombea Urais wa Simba SC, Evans Elieza Aveva akizungumza na wanachama wa Temeke katika ukumbi wa Kata ya 14, jioni ya leo wakati wa uzinduzi wa kampeni zake kuelekea uchaguzi Mkuu wa klabu hiyo Juni 29, mwaka huu mjini Dar es Salaam.
Aveva katikati akizungumza, kulia ni Mwenyekiti wa zamani wa klabu hiyo, Hassan Daalal na kushoto ni mfadhili wa klabu hiyo na Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili, Zacharia Hans Poppe
Wanachama wa Simba SC wakimsikiliza Aveva
Babu huyu akimsikiliza kwa makini Aveva wakati akimwaga sera zake
Akina mama nao hawakubaki nyuma
Aveva akisikiliza maoni, maswali na ushauri wa wanachama wa Temeke
Kutoka kulia Daalal, Aveva na Geoffrey Nyange 'Kaburu' mgombea Umakamu wa Urais
Hans Poppe, Kaburu na Aveva
Mwenyekiti wa Chama cha Soka Temeke (TEFA), Peter Mhinzi akimuombea kura Aveva kwa wanachama hao
Mikono juu, wanachama wakionyesha ishara watamoa kura Aveva
Aveva akisalimiana na mwanachama mlemavu wa Simba SC baada ya kampeni zake
Item Reviewed: EVANS AVEVA ALIVYOZINDUA KAMPENI ZAKE TEMEKE LEO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU SIMBA SC, HANS POPPE NA KABURU NDANI YA NYUMBA
Rating: 5
Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
Seyi Law vows never to support Peter Obi
-
By Seyi Babalola Oluwaseyitan Lawrence Aletile, better known as Seyi Law,
Nigeria’s famed stand-up comedian, has promised never to endorse Peter Obi,
a f...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment