// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); YANGA SC ILIVYOWAFANYA KAGERA SUGAR JANA TAIFA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE YANGA SC ILIVYOWAFANYA KAGERA SUGAR JANA TAIFA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Thursday, April 10, 2014

    YANGA SC ILIVYOWAFANYA KAGERA SUGAR JANA TAIFA

    Wachezaji wa Yanga SC wakipongezana jana kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Kagera Sugar Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, ambao unaweka hai matumaini ya kutetea ubingwa wao.
    Mfungaji wao bao la kwanza ya Yanga SC, Hamisi Kiiza kulia kulia akipambana na mabeki wa Kagera Sugar
    Mtengenezaji wa mabao yote mawili ya Yanga jana, Mrisho Ngassa kulia akipambana na beki wa Kagera Sugar
    Mfungaji wa bao la pili la Yanga SC, Didier Kavumbangu kulia akimtoka Salum Kanoni wa Kagera Sugar

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC ILIVYOWAFANYA KAGERA SUGAR JANA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top