Kikosi kipya cha timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya mazoezi leo Kunduchi kilipoweka kambi katika hoteli ya Kunduchi Beach, Dar es Salaam. Stars Jumamosi itamenyana na Burundi katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Tujitotokeze kuuona mseto huu mpya wa vipaji chini ya makocha wazalendo.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment