// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MAN UNITED WAZURU MAKABURI YA WACHEZAJI WAO WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA NDEGE MJINI MUNICH 1958 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MAN UNITED WAZURU MAKABURI YA WACHEZAJI WAO WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA NDEGE MJINI MUNICH 1958 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Wednesday, April 09, 2014

    MAN UNITED WAZURU MAKABURI YA WACHEZAJI WAO WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA NDEGE MJINI MUNICH 1958

    WACHEZAJI wa Manchester United wamezuru makaburi ya wachezaji wa timu hiyo waliofariki katika ajali ya ndege mwaka 1958 mjini Munich kuelekea mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Bayern Munich.
    Kiungo wa United, Michael Carrick alisema alivutiwa na kikundi cha mashabiki wa Mashetani hao Wekundu kilichosafiri kwenda kuisapoti timu walivyokuwa wanaimba wakati walipozuru eneo la hilo la kihistoria nchini Ujerumani.
    "Kutoa heshima zetu katika kumbukumbu ya Munich, na nilivyovutiwa na wimbo wa mashabiki "Man utd haitakufa",' Carrick aliposti kwenye Twitter.
    Heshima: Wachezaji wa Manchester United na kocha David Moyes wamezuru makaburi ya wachezaji wa timu hiyo waliofariki kwa ajali ya ndege mjini Munich Honoured: United boss Moyes lays a bouquet at the memorial to those tragically lost in 1958
    Heshima: Kocha wa United, Moyes akiweka shada la maua Sombre: United's stars pay their respects and draw inspiration from the memorial stone in Munich
    Nyota wa United wakitoa heshima zao katika jiwe la kumbukumbu mjini MunichRespect: Manchester United fans pay tribute on Tuesday to those lost in the runway tragedy in Germany
    Heshima: Mashabiki wa Manchester United wakitoa heshima zao Jumanne 
    United pia walizuru Uwanja wa Allianz Arena ambako watamenyana na Bayern Jumatano wakitakiwa kushinda baada ya mchezo wa kwanza kulazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 Uwanja wa Old Trafford na mabingwa hao wa Ulaya.
    Good spirits: Wayne Rooney smiles as United visit Allianz Arena on Tuesday ahead of the Champions League clash
    Wayne Rooney akitabasamu wakati United ilipozuru Allianz Arena Confidence: Moyes and veteran Darren Fletcher talk up United's chances against Bayern Munich
    Moyes na mkongwe Darren Fletcher wakizungumza katika Mkutano wa Waandishi wa Habari kuelekea mchezo na Bayern Munich
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN UNITED WAZURU MAKABURI YA WACHEZAJI WAO WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA NDEGE MJINI MUNICH 1958 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top