• HABARI MPYA

        Sunday, April 27, 2014

        BOSS GIGSS ALIVYOANZA KAZI JANA OLD TRAFFORD

        Kipenzi cha mashabiki: Kocha wa muda wa Manchester United, Ryan Giggs akiwapigia makofi mashabiki Uwanja wa Old Trafford baada ya kuiwezesha timu kushinda mabao 4-0 jana dhidi ya Norwich City katika mechi ya Ligi Kuu England ambayo ilikuwa ya kwanza tangu arithi mikoba ya David Moyes aliyefukuzwa wiki hii.
        Hunting down: The win moved United closer to Tottenham in sixth place in the Premier League
        Furaha imerudi: Ushindi huo umeisogeza United jirani na Tottenham inayoshika nafasi ya sita
        Popular: The new Manchester United manager signs autographs for spectators at Old Trafford
        Maarufu: Kocha mpta wa Manchester United akisaini autographs za mashabiki Uwanja wa Old Trafford
        Dream team: Giggs takes a seat next to his coaching team of Nicky Butt, Paul Scholes and Phil Neville
        Dream Team: Giggs akiwa ameketi na Wasaidizi wake, Nicky Butt, Paul Scholes na Phil Neville
        Ryan Giggs
        Ryan Giggs
        Tunamuamini Giggsy: Mabango ya kumtukuza Giggs
        Replacement: Giggs began his interim reign at Old Trafford after David Moyes was sacked
        Hivi ndivyo Giggs alipokewa
        Jumping for joy: Rooney opened the scoring five minutes before half-time from the penalty spot
        Wayne Rooney alifunga bao la kwanza kwa penalti
        Controversy: Welbeck was adjudged to have been brought down by Steven Whittaker
        Danny Welbeck ndiye aliyeangushwa kwenye eneo la hatari na Steven Whittaker
        No mistake: Rooney send Norwich goalkeeper John Ruddy the wrong way with his penalty
        Rooney alimchambua vizuri kipa wa Norwich, John Ruddy aliyechupa upande tofauti na ulipokwenda mpira
        Cometh the hour: Mata came off the bench to score United's third goal from close range
        Juan Mata alitokea benchi na kufunga mabao mawili
        Ryan Giggs
        Ryan Giggs
        Ushindi wa 4-0 ulikuwa mkubwa zaidi kwa United katika mechi za nyumbani, ambao timu hiyo haikuwahi kuupata chini ya David Moyes Uwanja wa Old Trafford
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: BOSS GIGSS ALIVYOANZA KAZI JANA OLD TRAFFORD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry