// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); NI CHELSEA NA MAN CITY, ARSENAL NA LIVERPOOL ROBO FAINALI KOMBE LA FA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE NI CHELSEA NA MAN CITY, ARSENAL NA LIVERPOOL ROBO FAINALI KOMBE LA FA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Monday, January 27, 2014

        NI CHELSEA NA MAN CITY, ARSENAL NA LIVERPOOL ROBO FAINALI KOMBE LA FA

        KLABU ya Manchester City itamenyana na Arsenal katika Robo Fainali ya Kombe la FA wakati Chelsea itamenyana na Liverpool siku kadhaa kabla ya kumenyana na vigogo wa Ulaya, Barcelona na Bayern Munich katika Ligi ya Mabingwa.

        Changamoto: Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho atakuwa na kazi mbele ya Manchester City
        Last time: Fernando Torres' late goal gave Chelsea a 2-1 win against Manchester City in the Premier League this season
        Mara ya mwisho: Bao la dakika za mwishoni la Fernando Torres liliipa Chelsea ushindi wa 2-1 dhidi ya Manchester City katika mchezo wa Ligi Kuu England msimu uliopita
        Stunner: Aaron Ramsey scored a long-range effort in Arsenal's 2-0 win over Liverpool earlier this season
        Unakumbuka? Aaron Ramsey alifunga katika ushindi wa Arsenal wa 2-0 dhidi ya Liverpool mapema msimu huu

        ROBO FAINALI KOMBE LA FA 

        Manchester City v Chelsea
        Sheffield United or Fulham v Nottingham Forest au Preston
        Arsenal v Liverpool
        Brighton v Hull
        Cardiff v Wigan
        Sheffield Wednesday v Charlton
        Sunderland v Southampton
        Everton v Swansea
        Mechi zitachezwa wikiendi ya Februari 15, mwaka huu
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: NI CHELSEA NA MAN CITY, ARSENAL NA LIVERPOOL ROBO FAINALI KOMBE LA FA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry