• HABARI MPYA

        Friday, January 31, 2014

        MOURINHO ASAINI BEKI LA KATI CHELSEA KINDA LA MIAKA 19 KUTOKA UFARANSA

        KOCHA Jose Mourinho amekamilisha usajili wa Kurt Zouma kutoka klabu ya  St-Etienne.
        Chelsea imekubali kulipa ada ya uhamisho ya Pauni Milioni 12.5 kwa ajili ya beki huyo wa kati kinda wa umri wa miaka 19, ambaye atabakia Ufaransa kumalizia msimu.
        Kujiamini: Kurt Zouma amejiunga na Chelsea lakini atabakia St Etienne kumalizia msimu
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: MOURINHO ASAINI BEKI LA KATI CHELSEA KINDA LA MIAKA 19 KUTOKA UFARANSA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry