Kipa Shaaban Kado akiwaongoza wachezaji wenzake wa Coastal Union kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam jioni hii baada ya kuwasili kutoka Muscat, Oman walipoweka kambi ya wiki mbili kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara unaoanza keshokutwa.
Wananukia marashi ya Muscat
Coastal watacheza na JKT Oljoro Uwanja wa Mkwakwani Jumamosi
Faouzi Lekjaa appointed CAF 1st Vice President
-
Moroccan Fouzi Lekjaa was elected first vice-president of the Confederation
of African Football (CAF) at an executive committee meeting in Accra on
Satur...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment