![]() |
Kipa wa Simba SC, Abuu Hashimu akidaka mbele ya mshambuliaji wa Ruvu |
![]() |
Kipa wa Ruvu akiwa ameosha |
![]() |
Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba SC, Ibrahim Masoud 'Maestro' akifuatilia mchezo kwa makini |
![]() |
Mwenyekiti wa Simba SC, Alhaj Ismail Aden Rage akiwa na Makamu wa Rais wa TFF, Wallace Karia |
![]() |
Beki wa Simba kushoto akiokoa mpira uliokuwa unaelekea nyavuni |
![]() |
Kocha wa Simba SC, Suleiman Matola kushoto wakati wachezaji wake wakipooza koo kwa maji ya Uhai |
0 comments:
Post a Comment