ZIARA YA VYOMBO VYA HABARI NCHINI LEO OFISI ZA AZAM MEDIA
Mtendaji Mkuu wa Azam Media, Rhys Torrington akifafanua jambo kwa Waandishi wa Habari wakati wa ziara ya Vyombo vya Habari nchini katika ofisi za Azam TV mchana wa leo barabara ya Nyerere, Dar es Salaam.
Torrington akiwahutubia Waandishi wa Habari
Torrington akionyesha king'amuzi na rimoti ya Azam TV, ambavyo vitaanza kuuzwa mwezi ujao kwa bei ya Sh. 95,000 pamoja na dishi lake na huduma za kufungiwa, wakati malipo ya mwezi yatakuwa ni Sh. 12,500.
Bei moja chaneli kibao babu kubwa, burudani, maisha, habari na michezo mbalimbali
Torrington akizungumza na Mtendaji Mkuu wa BIN ZUBEIRY Blog, Mahmoud Zubeiry kushoto
Azam TV imenunua haki za kuonyesha Ligi Kuu ya Bara
Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Azam TV, Eric Caste akifafanua jambo kwa Waandishi
Waandishi wa Habari wakielekezwa mambo na Meneja Huduma kwa Wateja, Loth Mziray katika ofisi ya Huduma kwa Wateja ya Azam TV
Mziray aliwapa maelezo ya kutosha Waandishi
Mziray akijibu swali la Mhariri wa Michezo wa gazeti la Habari Leo, Mgaya Kingoba kulia
Waandishi pia waliingias kwenye gari la kurushia matangazo ya mpira moja kwa moja kujionea
Ndani ya gari hilo, wakielekezwa mambo na Mtaalamu Meb
Mmoja wa Wakurugenzi wa Azam Media, Yussuf Bakhresa akizungumza na Waandishi wa Habari
Seven nations plan 2030 & 2034 Commonwealth bids
-
Fears that Glasgow 2026 might be the last ever Commonwealth Games are
alleviated after seven nations lodge official expressions of interest to
host in 2030...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment