• HABARI MPYA

        Friday, October 25, 2013

        ZIARA YA VYOMBO VYA HABARI NCHINI LEO OFISI ZA AZAM MEDIA

        Mtendaji Mkuu wa Azam Media, Rhys Torrington akifafanua jambo kwa Waandishi wa Habari wakati wa ziara ya Vyombo vya Habari nchini katika ofisi za Azam TV mchana wa leo barabara ya Nyerere, Dar es Salaam. 

        Torrington akiwahutubia Waandishi wa Habari

        Torrington akionyesha king'amuzi na rimoti ya Azam TV, ambavyo vitaanza kuuzwa mwezi ujao kwa bei ya Sh. 95,000 pamoja na dishi lake na huduma za kufungiwa, wakati malipo ya mwezi yatakuwa ni Sh. 12,500.

        Bei moja chaneli kibao babu kubwa, burudani, maisha, habari na michezo mbalimbali

        Torrington akizungumza na Mtendaji Mkuu wa BIN ZUBEIRY Blog, Mahmoud Zubeiry kushoto

        Azam TV imenunua haki za kuonyesha Ligi Kuu ya Bara

        Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Azam TV, Eric Caste akifafanua jambo kwa Waandishi 

        Waandishi wa Habari wakielekezwa mambo na Meneja Huduma kwa Wateja, Loth Mziray katika ofisi ya Huduma kwa Wateja ya Azam TV  

        Mziray aliwapa maelezo ya kutosha Waandishi

        Mziray akijibu swali la Mhariri wa Michezo wa gazeti la Habari Leo, Mgaya Kingoba kulia

        Waandishi pia waliingias kwenye gari la kurushia matangazo ya mpira moja kwa moja kujionea

        Ndani ya gari hilo, wakielekezwa mambo na Mtaalamu Meb

        Mmoja wa Wakurugenzi wa Azam Media, Yussuf Bakhresa akizungumza na Waandishi wa Habari

        Yussuf akifafanua jambo kwa Waandishi wa Habari

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: ZIARA YA VYOMBO VYA HABARI NCHINI LEO OFISI ZA AZAM MEDIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry