• HABARI MPYA

        Tuesday, October 29, 2013

        YANGA SC ILIVYOICHABANGA 3-0 MGAMBO JKT LEO TAIFA

        Winga wa Yanga SC, Simon Msuva akijiandaa kupiga krosi pembeni ya beki wa Mgambo JKT, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 3-0.

        Mrisho Ngassa akitafuta mbinu za kuwatoka mabeki wa Mgambo

        Mrisho Ngassa akiwatoka mabeki wa Mgambo

        Frank Domayo akimiliki mpira mbele ya wachezaji wa Mgambo

        Simon Msuva alimpiga chenga mbaya beki wa Mgambo

        Simon Msuva anamzunguka beki wa Mgambo

        Kipa wa Mgambo, Tony Kavishe akipangia krosi

        Athumani Iddi 'Chuji' akitafuta njia

        Chuji kazini

        Didier Kavumbangu akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Mgambo

        Hamisi Kiiza akiwatoka mabeki wa Mgambo

        Mrisho Ngassa akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Mgambo

        Jerry Tegete akimtoka beki wa Mgambo

        Mrisho Ngassa na Simon Msuva wakiwa benchi baada ya kutolewa kipindi cha pili

        Kikosi cha Yanga leo

        Kikosi cha Mgambo

        Mashabiki wa Yanga SC kwa raha zao

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: YANGA SC ILIVYOICHABANGA 3-0 MGAMBO JKT LEO TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry