TENGA AAGA RASMI TFF, AFUNGUA MKUTANO MKUU KWA HOTUBA 'NDEEEFU' YA HISTORIA YA MIAKA NANE YA UTAWALA WAKE
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Leodegar Tenga anayemaliza muda wake, akitoa hotuba ya Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa shirikisho hilo asubuhi hii katika ukumbi wa NSSF Water Front, utakaofuatiwa na Uchaguzi Mkuu kesho. Tenga alitoa hotuba ndefu akielezea mafanikio aliyoyaleta TFF katika kipindi cha miaka yake nane ya kuongoza chombo hicho tangu mwaka 2004.
Mgombea nafasi ya Umakamu wa Rais wa TFF, Wallace Karia kushoto akisikiliza kwa makini hotuba ya Rais Tenga
Kutoka kulia, Mgombea Urais wa TFF, Athumani Nyamlani, Mbunge wa Temeke, Zuberi Mtemvu na Mbunge wa Ilala, Mussa Azzan 'Zungu'
Kulia ni Ofisa Maendeleo wa Shirikisho la Soka Kimataifa (FIFA) Kanda ya Kusini, Ashford Mamelodi kutoka Botswana na kushoto Henry Tandau, Mkufunzi wa FIFA kutoka hapa hapa Tanzania
Rais wa heshima wa TFF, Muhiddin Ndolanga yupo pia
Mgombea Urais wa TFF, Jamal Malinzi kushoto
Wajumbe
Wajumbe
Wajumbe
Mwenyekiti wa Azam FC, Sheikh Said Muhammad Said Abeid kushoto akisoma dua maalum kabla ya kuanza kwa Mkutano Mkuu. Kulia ni Mwenyekiti wa Simba SC, Alhaj Ismail Aden Rage
Wajumbe wakiitikia dua
Meza kuu
Wajumbe
Wajumbe
Mwenyekiti wa Kamati ya Nidhamu na Usuluhishi ya TFF, Kamanda Mstaafu wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Alfred Tibaigana kushoto na kulia ni kocha wa timu ya taifa, Taifa Stars, Mdenmark Kim Poulsen.
Item Reviewed: TENGA AAGA RASMI TFF, AFUNGUA MKUTANO MKUU KWA HOTUBA 'NDEEEFU' YA HISTORIA YA MIAKA NANE YA UTAWALA WAKE
Rating: 5
Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
Dubois in talks to fight Usyk in July at Wembley
-
Great Britain's Daniel Dubois could have the chance of revenge against
Oleksandr Usyk this summer in a contest to unify all four world heavyweight
titles.
NOUN urged to champion revolution in ODL
-
From Fred Ezeh, Abuja President Bola Ahmed Tinubu, has challenged the
National Open University of Nigeria (NOUN) to champion the cause of Open
and Distan...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment