• HABARI MPYA

        Sunday, October 27, 2013

        SPURS WAWAJIBU ARSENAL...WAWAFUATA WATU WALE WALE WALIOEJENGA EMIRATES WAWAJENGEE BONGE LA UWANJA LA KISASA

        KLABU ya Tottenham ipo katika mpango wa siri wa kujenga Uwanja mpya wa kisasa zaidi utakaokuwa na uwezo wa kuchukua watu 65,000, ambao utatumika pia kwa michezo ya NFL .
        Mapema mwaka huu, klabu hiyo iliachana na mpango wa kujenga Uwanja wa watu 56,000- ambao ungewagharimu Pauni Milioni 400, wakisema kwamba kujenga Uwanja utakaoendana na idadi ya watu wanaoingia White Hart Lane.
        Lakini leo imegundulika, Spurs imeiteua kampuni ya Populous, iliyodizaini Uwanja wa Olympic na Emirates— wa wapinzani wao mjini London, Arsenal — kudizaini Uwanja mkubwa wa kisasa.

        New start: Tottenham are still working on plans for a new stadium despite scrapping their original designs
        Trans-Atlantic: The plans for the new White Hart Lane are still up in the air, but the NFL could get involved
        Trans-Atlantic: The plans for the new White Hart Lane are still up in the air, but the NFL could get involved
        Going long: Goalkeeper Brad Friedel tries his hand at being a quarterback
        Going long: Goalkeeper Brad Friedel tries his hand at being a quarterback
        Gift: 49ers chairman John York and Tottenham chairman Daniel Levy exchanged jerseys
        Gift: 49ers chairman John York and Tottenham chairman Daniel Levy exchanged jerseys
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: SPURS WAWAJIBU ARSENAL...WAWAFUATA WATU WALE WALE WALIOEJENGA EMIRATES WAWAJENGEE BONGE LA UWANJA LA KISASA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry