• HABARI MPYA

        Thursday, October 24, 2013

        SIMBA SC WAGAWIWA MILIONI 12 KATIKA MILIONI 51.6 ZILIZOPATIKANA DHIDI YA COASTAL MKWAKWANI JANA

        Mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kati ya Simba SC na wenyeji Coastal Union Uwanja wa Mkwakwani, Tanga imeingiza jumla ya Sh. Milioni 51.6 (51.586,000) na kila klabu imepata Sh. Milioni 12 katika mchezo huo uliomalizika kwa sare 0-0, habari hizi ni kwa mujibu wa chanzo chetu kutoka Chama cha Soka Tanga (TRFA). Pichani ni Juma Nyosso wa Coastal kulia akipambana na Amisi Tambwe wa Simba SC katika mchezo huo jana.

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: SIMBA SC WAGAWIWA MILIONI 12 KATIKA MILIONI 51.6 ZILIZOPATIKANA DHIDI YA COASTAL MKWAKWANI JANA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry