![]() |
Mshambuliaji wa Simba SC, Edward Christopher Edward akipambana na beki wa Coastal Union |
![]() |
Mshambuliaji wa Simba SC, Zahor Pazi akimiliki mpira mbele ya beki wa Coastal Union, Juma Nyosso |
![]() |
Kipa wa SImba SC, Abuu Hashimu akiwa amedaka mpira mbele ya Haruna Moshi 'Boban' wa Simba SC |
![]() |
Haruna Shamte wa Simba SC akipambana na kiungo wa Coastal, Crispin Odula |
![]() |
Kiungo wa SImba SC, William Lucian 'Gallas' akipambana na beki wa Coastal Union, Juma Nyosso |
![]() |
Amri Kiemba wa Simba SC akimtoka Juma Nyosso wa Coastal |
![]() |
Kipa wa Simba SC, Abbel Dhaira kushoto akitoka uwanjani baada ya kuumia kipindi cha kwanza |
![]() |
Zahor Pazi akijaribu kuiwahi krosi bila mafanikio, huku kipa wa Coastal, Shaaban Kado akiwa tayari kuokoa |
![]() |
Jerry Santo wa Coastal akipambana na viungo wa Simba SC, William Lucian 'Gallas' na Saidi Ndemla |
![]() |
Said Ndemla akimdhibiti Yayo Lutimba wa Coastal |
![]() |
Juma Nyosso akimvuta jezi Amisi Tambwe |
![]() |
Haruna Moshi wa Coastal akimtoka Kaze Gilbert wa Simba SC |
![]() |
Haruna Moshi akiwa ameanguka chini baada ya kukutana na Kaze Gilbert |
![]() |
Haruna Moshi kushoto na Kaze Gilbert kushoto |
![]() |
Haruna Moshi na Kaze Gilbert |
![]() |
11 wa Simba SC walioanza leo |
![]() |
11 wa Coastal walioanza leo |
![]() |
Mwenyekiti wa Simba SC, Alhaj Ismail Aden Rage akishuhudia mchezo huo leo Mkwakwani |
![]() |
Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe kulia na Kaimu Makamu Mwenyekiti wa klabu hiyo, Joseph Itang'are 'Kinesi' |
![]() |
Kocha wa Simba SC, Abdallah Kibadeni kulia akiwa na Msaidizi wake, Jamhuri Kihwelo na Meneja Nico Nyagawa |
![]() |
Makocha wa Muda wa Coastal, Razack Yussuf 'Careca' na Joseph Lazaro |
0 comments:
Post a Comment