![]() |
David Luhende akimtoka beki wa Prisons |
![]() |
Ilikuwa shughuli pevu Sokoine leo |
![]() |
Said Bahanuzi akituliza mpira gambani mbele ya wachezaji wa Prisons, huku Simon Msuva akigaagaa chini |
![]() |
Didier Kavumbangu akimtoka beki wa Prisons |
![]() |
Jerry Tegete akiwania mpira dhidi ya wachezaji wa Prisons |
![]() |
Kipa wa Prisons akiwa juu kudaka mpira |
![]() |
Beki wa Prisons akimkwatua Mbuyu Twite wa Yanga SC |
![]() |
Beki wa Prisons akiosha mpira pembeni ya Jerry Tegete |
![]() |
Simon Msuva akipenyeza shuti katikati ya wachezaji wa Prisons |
![]() |
Beki wa Prisons wakienda hewani kupiga mpira kichwa dhidi ya Haruna Niyonzima wa Yanga SC |
![]() |
Kikosi cha Yanga SC leo |
![]() |
Kikosi cha Prisons leo |
![]() |
Askari Polisi na Magereza wakishirikiana kulinda basi la Yanga lisishambuliwe kama Jumamosi kwenye mchezo na Mbeya City |