• HABARI MPYA

        Wednesday, September 18, 2013

        SIMBA SC ILIVYOVUNA MVUA YA MABAO LEO TAIFA NA KUPANDA KILELENI LIGI KUU BARA LEO

        IMEWEKWA SEPTEMBA 18, 2013 SAA 5:00 USIKU
        Mshambuliaji wa Simba SC, Amisi Tambwe kulia akipiga shuti mbele ya mabeki wa Mgambo JKT katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara leo, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Tambwe alifunga mabao manne, Simba ikishinda 6-0 na kupanda kileleni Ligi Kuu kwa kufikisha pointi 10 baada ya mechi nne.

        Betram Mombeki wa Simba SC akichuana na beki wa Mgambo JKT

        Henry Joseph akimtoka beki wa Mgambo JKT

        Amisi Tambwe akishangilia moja ya mabao yake leo

        Kikosi cha Simba SC leo

        Kikosi cha Mgambo JKT leo

        Shabiki kigeugeu; Shabiki bubu aliyehama kutoka Simba kwenda Yanga, leo amerejea tena Msimbazi

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments
        Item Reviewed: SIMBA SC ILIVYOVUNA MVUA YA MABAO LEO TAIFA NA KUPANDA KILELENI LIGI KUU BARA LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry